Mercredi 01 mai 2024

Archives

Wafuasi 5 wa Agathon Rwasa waliokimbilia kwenye Halmashauri Huru ya Haki za Binadamu (CNDIaH) wanaomba hifadhi ugenini

14/09/2011 Commentaires fermés sur Wafuasi 5 wa Agathon Rwasa waliokimbilia kwenye Halmashauri Huru ya Haki za Binadamu (CNDIaH) wanaomba hifadhi ugenini

Wafuasi hao 5 wa Agathon Rwasa, kinara wa zamani wa chama cha waasi cha FNL ambae wakati huu yiko mafichoni walichukua uamzi huoa wa kuomba hifadhi kwenye ofisi za Halmashahuri Huru ya Haki za Binadamu kwa kuhofia usalama wao. Wanaomba wafamishiwe katika nchi nyingine. Kiongozi wa Halmashahuri hio anaahidi kutanzuwa swala hilo.

Vijana hao kutoka wilayani Kanyosha , mkoa wa Bujumbura wakati huu wana muda wa zaidi ya awiki moja wakiishi kwenye ofisi za Halmashahuri hio. Wanabaini kua walichukuwa uamzi wa kukimbia bada ya kutishiwa kumaliziwa maisha na hapa wanasuta kidole askari polisi, idaraza upelelezi na vijana wakereketwa kutoka chama tawala cha CNDD FDD.

’’Wanataka kutufyeka’’, anasema kwa sauti ya kutetemeka moja kati ya wafasi hao wa Agathon Rwasa, kinara wa chama cha zamani cha waasi cha FNL ambae wakati huu aliengia mafichoni bada ya madai ya uizi wa kura kwenye chaguzi za hapo mwaka jana zilizopelekea chama cha CNDD FDD kujipatia ushindi.

’’Hata kwenye ofisi za Halmashahuri Huru ya Haki za Biadamu hio tulipo kimbilia bado tuna hofu sababu kuna vitisho, tunapigiwa mara kwa mara simu na watu wasiojulikana na jawabu kwetu ni kupelekwa ugenini’’, wanazidi kusema wakimbizi hao wa aina nyingine.

Kwa upande wake kiongozi wa Halmashahuri Huru ya Haki za Biadamu hio, Emmanuel Ntarutimana anasema ana mawasiliyano na idara za upelelezi, utawala hata waakilishi wa vijana wakereketwa wa chama tawala cha CNDD FDD sababu ni miongoni mwa watu wanaopelekea wafuasi hoa wa Agathon Rwasa kupatwa na uoga.

Kiongozi wa Halmashahuri hio anawatuliza wafuasi hao wa Agathon Rwasa, anasema jawabu ni hivi karibuni. Licha ya hayo anakiri kua swala hilo si rahisi huku akiomba kuepo uelewano na kuaminiana. Anatolea wito wafadhili ili wachangie katika kuwahudumia watu hao, anasema Halmashhuri Huru ya Haki za Binadama haikujiandalia hali hio.

A nos chers lecteurs

Nous sommes heureux que vous soyez si nombreux à nous suivre sur le web. Nous avons fait le choix de mettre en accès gratuit une grande partie de nos contenus, mais une information rigoureuse, vérifiée et de qualité n'est pas gratuite. Nous avons besoin de votre soutien pour continuer à vous proposer un journalisme ouvert, pluraliste et indépendant.

Chaque contribution, grande ou petite, permet de nous assurer notre avenir à long terme.

Soutenez Iwacu à partir de seulement 1 euro ou 1 dollar, cela ne prend qu'une minute. Vous pouvez aussi devenir membre du Club des amis d'Iwacu, ce qui vous ouvre un accès illimité à toutes nos archives ainsi qu'à notre magazine dès sa parution au Burundi.

Editorial de la semaine

Le Burundi confronté à une question de survie

Quatre enfants sont morts dans l’ effondrement d’une maison dans la zone Ntamba, commune Musigati, un enfant de trois ans est mort, plus de 300 maisons détruites  après un éboulement sur la colline Gabaniro, commune Muhuta, plus de cinq cents (…)

Online Users

Total 4 531 users online